Tafuta katika Blogu Hii
Jumatatu, 26 Februari 2018
MPWAPWA SEC. SCHOOL
Serikali yatoa kiasi cha bil 1.2 kwa ajili ya ukarabati wa shule kongwe mkoani Dodoma (MPWAPWA SEC)
Mapema septemba mwaka 2017 aliekuwa naibu waziri TAMISEMI
Ndugu Seleman Jaffo alifika shuleni hapo kukagua namna ukarabati huo unavyoendelea......Ambapo alimpongeza mkuu wa shule na mhandisi msimamaizi
wa mradi huo.......
Mpwapwa secondary ni moja kati ya shule kongwe zinazofanyiwa ukarabati wa kina.......
Licha ya shule hio pia Shule kama MUSOMA TECH.....TABORA BOYS.....pia ziko katika mpango huo wa ukarabati
Source; (Moses John)M.C.A Tv
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni